Wednesday, July 13, 2016

Swansea wanataka kupanda dau kumsajili

 Leonardo Ulloa, kutoka Leicester.
Kanu

Swansea wanataka kupanda dau kumsajili Leonardo Ulloa, 29, kutoka Leicester, wakati wakijiandaa kwa kuondoka kwa Andre Ayew na Bafetimbi Gomis (Daily Telegraph), mshambuliaji wa Wales Hal Robson-Kanu ambaye ni mchezaji huru amepewa mshahara wa pauni 100,000 kujiunga na Ligi Kuu ya China (Daily Mirror).

No comments:

Post a Comment