usajili wa beki Kalidou Koulibaly,
toka Napoli.

Chelsea wana wasiwasi kuwa huenda wakalazimika kulipa zaidi ya pauni milioni 50 kumsajili beki Kalidou Koulibaly, 25, kutoka Napoli (Evening Standard), Real Madrid wameingia kwenye mbio za kumsajili kiungo wa Valencia Andre Gomes anayefuatiliwa na Chelsea (Fichajes), Madrid wameamua kutomuuza mshambuliaji wao, Alvaro Morata, 23, kwenda Chelsea (Daily Mail).
No comments:
Post a Comment