Wednesday, July 13, 2016

Negredo kurejea tena england?
Negredo

Liverpool na Tottenham hawajakatishwa tamaa na bei ya pauni milioni 25 iliyowekwa kwa beki wa Kols, Jonas Hectors, 26 (Bild), Middlesbrough waliopanda daraja wanataka kumsajili beki wa Chelsea Tomas Kalas, 23 (Daily Express), Middlebrough pia wana matumaini ya kumsajili mshambuliaji wa Valencia Alvaro Negredo, 30, aliyeichezea Manchester City kwa misimu miwili (Guardian).

No comments:

Post a Comment