Wednesday, July 13, 2016

Swansea wanataka kupanda dau kumsajili

 Leonardo Ulloa, kutoka Leicester.
Kanu

Swansea wanataka kupanda dau kumsajili Leonardo Ulloa, 29, kutoka Leicester, wakati wakijiandaa kwa kuondoka kwa Andre Ayew na Bafetimbi Gomis (Daily Telegraph), mshambuliaji wa Wales Hal Robson-Kanu ambaye ni mchezaji huru amepewa mshahara wa pauni 100,000 kujiunga na Ligi Kuu ya China (Daily Mirror).
Negredo kurejea tena england?
Negredo

Liverpool na Tottenham hawajakatishwa tamaa na bei ya pauni milioni 25 iliyowekwa kwa beki wa Kols, Jonas Hectors, 26 (Bild), Middlesbrough waliopanda daraja wanataka kumsajili beki wa Chelsea Tomas Kalas, 23 (Daily Express), Middlebrough pia wana matumaini ya kumsajili mshambuliaji wa Valencia Alvaro Negredo, 30, aliyeichezea Manchester City kwa misimu miwili (Guardian).

Chelsea kulipa  zaidi ya pauni milioni 50

  usajili wa beki Kalidou Koulibaly

toka  Napoli.
Morata

Chelsea wana wasiwasi kuwa huenda wakalazimika kulipa zaidi ya pauni milioni 50 kumsajili beki Kalidou Koulibaly, 25, kutoka Napoli (Evening Standard), Real Madrid wameingia kwenye mbio za kumsajili kiungo wa Valencia Andre Gomes anayefuatiliwa na Chelsea (Fichajes), Madrid wameamua kutomuuza mshambuliaji wao, Alvaro Morata, 23, kwenda Chelsea (Daily Mail).
Manchester United tayari kumsajili kiungo 

kutoka Spain, Cesc Fabregas.

Fabregas
Fabregas kuungana tena na Mourinho?
Meneja wa Manchester United Jose Mourinho yuko tayari kumsajili kiungo kutoka Spain, Cesc Fabregas, 29, ambaye alikuwa naye Chelsea (Daily Mirror), Mourinho huenda akaamua kumfuatilia kiungo wa Newcastle, Moussa Sissoko, 26, iwapo atashindwa kumsajili Paul Pogba kutoka Juventus (Le 10 Sport), Man United wanaendelea kumfuatilia beki wa West Ham, Reece Oxford, 17 (Evening Standard), meneja msaidizi wa zamani wa Manchester United, Ryan Giggs, 41, atacheza katika ligi kuu ya India mwezi huu (Daily Mail).

John Stones wa Everton atangaza

 kujiunga na  Manchester City

Stones
John Stones
Mshambuliaji Wilfried Bony, 27, anajiandaa kuondoka Manchester City, huku Galatasaray wakitoa pauni milioni 3 za kumsajili kwa mkopo (Sun), Leroy Sane, 20 anayesakwa na Manchester City, hajaiambia klabu yake ya Schalke kuwa anataka kuondoka, wakati meneja mpya wa City Pep Guardiola akiwa tayari kutoa pauni milioni 40 kumsajili kiungo huyo Mjerumani (Daily Star).

Sunday, July 10, 2016

URENO MABINGWA ULAYA 2016

Ronaldo
Ureno wameshinda michuano ya kandanda ya Ulaya, Euro 2016, kwa kuwafunga wenyeji Ufaransa 1-0 katika dakika za ziada kwenye mchezo wa fainali mjini Paris.
Goli la ushindi lilifungwa na Eder katika dakika ya 110, na kusababisha huzuni kubwa kwa mashabiki wa Ufaransa waliofurika kwenye uwanja wa Stade de France.
Ilikuwa furaha kubwa kwa mashabiki wa Ureno. Hii ni mara ya kwanza Ureno kushinda michuano mikubwa.
Ureno walicheza kwa kujituma na ushirikiano bila ya mchezaji wao nyota Cristiano Ronaldo aliyetoka kutokana na kupata jeraha la goti katika kipindi cha kwanza.
Ufaransa ilitawala mchezo kwa kiasi kikubwa, lakini hawakuweza kuzitumia vyema nafasi walizopata.

Friday, May 13, 2016

DAIMOND PLATNUMZZZZZZZZ, SHOW YA KUFA MTU NDANI YA DODOMA, UDOM

Thursday, May 12, 2016

Pressure mounts on Venezuela's President Nicolas Maduro

Opposition parties stage marches in effort to step up campaign to topple President Nicolas Maduro via recall referendum.

According to one recent opinion poll almost 70 percent of Venezuelans want Maduro stripped of the presidency [The Associated Press]
Riot police have fired tear gas at stone-throwing protesters in Venezuela's capital amid opposition demonstrations to pressure electoral authorities into allowing a recall referendum against President Nicolas Maduro.
Protesters and National Guard members clashed on a highway in Caracas on Wednesday where thousands of demonstrators chanted "freedom" and waved copies of the constitution.
A video showed an officer appearing to use pepper spray against Henrique Capriles, the two-time presidential candidate, during the protest.
Capriles later said on Twitter that he was fine.
In the western opposition stronghold of Tachira, protesters brandished signs reading "We don't want to do die of hunger", while some masked youths blocked streets with rubbish and prepared Molotov cocktails.
The Democratic Unity coalition has stepped up its campaign to topple Maduro amid a worsening economic crisis, but says the government-leaning electoral body is intentionally delaying the verification of signatures in favour of the referendum.
The opposition submitted roughly 1.85 million signatures on May 2 in favour of the referendum.
If they are validated, the opposition must then request another petition drive and gather around four million signatures to trigger a referendum.
If the opposition succeeds this year in winning a recall referendum to oust Maduro, whose term ends in 2019, new elections would be held.


But if a successful recall referendum is held next year, the presidency would fall to the vice president, a post currently held by Aristobulo Isturiz, a loyalist of the governing United Socialist Party.
The opposition says Maduro, elected in 2013, is pushing the oil-producing country towards economic catastrophe.
One recent opinion poll showed that almost 70 percent of Venezuelans want Maduro stripped of presidency this year.
Source: Al Jazeera

Thailand students caught in high-tech cheating scam

University calls for laws to prosecute students and criminals who use gadgets such as smartwatches to cheat in exams.

A leading private university in Thailand is calling for a change in the law to prosecute students who cheat and the criminals who help them.
The call comes after the discovery of unusual high-tech cheating methods used by three female medical students.
Bangkok's Rangsit University cancelled its examinations on Saturday and Sunday for admission to its medical and dental faculties after the discovery of the methods, such as embedded cameras and smartwatches with stored information.
While cheating has long been a problem in Thai schools and colleges, the use of high-tech gear has taken the practice to a new level.
The cameras were used to take pictures of the test sheet and the smartwatches to receive answers from someone outside.
A a set of glasses with a hidden camera used by students caught cheating in exams [Pakarat Jumpanoi/Rangsit University via AP]
Three students were caught by university staff overseeing the exam on Saturday. The next day three more were caught, but they were not trying to get into the university.
Officials said the students were part of a group that is charging students thousands of dollars for exam answers.
Thailand does not have a law to prosecute students who cheat - something Rangsit University wants changed.
"Exam cheating is not a minor offence. It's the start of other criminal offences," university administrator Kittisak Tripipatpornchai told Al Jazeera.
"If we don't have law or tough measures to deal with this, our education system will never be competitive with other countries."
Educators say cheating has flourished because of an education system that makes exam scores the only criterion for assessing a student's ability and granting admission into places of higher learning.
A smartwatch used by students caught cheating in exams [Pakarat Jumpanoi/Rangsit University via AP]

mfuko wa Rihanna kulipia karo wanafunzi

    Rihanna
Nyota wa muziki Rihanna amejitolea kufadhili elimu ya wanafunzi kupitia wakfu wake.
Hatua hiyo inaamanisha kwamba watu kutoka jamii zisizojiweza watapata msaada wa kulipa ada ya shule.
Wakfu huo wa Clara Lionel umekuwa ukifanya kazi tangu 2012 ambapo hutoa ruzuku kwa shule huko Barbados mbali na kuwasaidia wagonjwa wa saratani.
Bibiye Rihana alifariki kutokana na ugonjwa wa saratani mwaka huo huo na hivyobasi kumfanya yeye kuanza kusaidia sekta ya matibabu.
Kwa sasa shirika hilo limepanuka na kutoa ufadhili wa elimu hadi kufikia dola 50,000 kwa wanafunzi waliopo Barbados,Brazil,Cuba,Haiti,Guyana,Jamaica na Marekani.
''Sidhani kwamba ni haki kwa watoto kubeba mzigo wa kifedha katika miaka walio nayo'',alisema Rihanna.
MSIMAMO WA LIGI  EPL 
NambariKlabuMechiMabaoAlama
1Leicester373280
2Tottenham373870
3Arsenal372568
4Man City373065
5Man Utd371263
6West Ham371562
7Southampton371560
8Liverpool371359
9Chelsea37649
10Stoke37-1548
11Swansea37-1046
12Everton37144
13Watford37-1044
14Crystal Palace37-942
15West Brom37-1442
16Bournemouth37-2042
17Sunderland37-1438
18Newcastle37-2534
19Norwich37-2534
20Aston Villa37-4517

Hatua za kuzuia mali kufichwa Uingereza

Mkutano wa kupambana na rushwa unaendelea London
Waziri mkuu wa Uingereza David Cameron anatarajiwa kutangaza katika mkutano wa kupinga ufisadi kwamba makampuni ya ng'ambo yanayomiliki mali London yatalazimishwa kujisajili wazi wamilki mali hiyo.
Hatua hiyo imeundwa imeidhinishwa kuzuia wafisadi na nchi dhidi ya kuhamisha, na kuficha fedha kupitia soko la London. Nchi kadhaa nyengine huenda pia zikaahidi kuidhinihsa usajili wa wamilki asili wa makampuni.
Kuna takriban kampuni 100,000 England pamoja na Wales zinazomilikiwa na makampuni ya nje nyingi zikiwa mjini London.
Zina thamani ya mamilioni ya pauni na nyingi hutumiwa kuficha fedha ambazo zimepatikana kwa njia za kifisadi.
Katika siku zijazo kampuni yoyote itakayo taka kununua au kumiliki mali ni lazima ijisajili.
Baadhi ya maenoe ya Ukngereza na milki zake zitajiunga nchi nyingine 33 katika kukubali kudhirisha usajili wa wamilki kampuni, taarifa zinazopaswa kuwa wazi kwa polisi .
Kutakuwa na kituo cha ushirikiano cha kukabiliana na ufisadi London na hatua kubwa zitachukuliwa dhidi ya wakuu wanaoshindwa kuzuia udanganyifu au ulanguzi wa fedha katika kampuni zao.
Mtihani wa mpango wa waziri mkuu Cameron utakuwa ni nchi ngapi nyingine zitakazofuata mfano huo.
Kwa mfano Virgin Islands haihudhirii mkutano huo na haijakubali kutoa taarifa zozote kuhusu kampuni zilizoko huko.

Dilma Rousseff mashakani

Rais Dilma Rousseff
Bunge la Seneti Brazil hivi punde limepiga kura kuamua kuidhinisha kura ya kutokuwa na imani dhidi ya kiongzi wa taifa hilo Dilma Rousseff.
Atasimamishwa kazi ya urais kwa siku zisizozidi 180 wakati bunge hilo la Seneti litakagua tuhuma zinazomkabili.
Bi Rousseff anatuhumiwa kubadili kinyume cha sheria fedha za serikali kuficha nakisi inayoongezeka ya umma kufuatia kuchaguliwa kwake tena mnamo 2014, tuhuma anazozikana.
Masenata 55 waliunga kuidhinishwa kura hiyo ya kutokuwana imani dhidi ya 22 bungeni katika kikao cha zaidi ya saa 20.
Makamu wa rais Michel Temer sasa ndio atashikilia madaraka wakati kesi dhidi ya Bi Rousseff inaendelea.
Rousseff alichukua hatua ya mwisho kujiokoa kwa kukataa rufaa katika mahakama ya juu zaidi nchini humo kusitisha kura hiyo, lakini hatua hiyo ilipingwa.
YOWERI MUSEVENI AAPISWA:
Yoweri Museveni leo ametawazwa rasmi kuwa Rais mpya wa Uganda kwa muhula wa tano mfululizo.Tayari Rais Museveni amekwisha tawala miaka 30. Kutawazwa kwake leo, ambako kunashuhudiwa na viongozi wa mataifa 14 kutoka Afrika na wageni wengine mashuhuri, kuna fuata ushindi uliojaa ubishani katika uchaguzi wa Februari 18.
13.17pm:Miongoni mwa marais wanaohudhuria sherehe hiyo ni pamoja na rais wa Sudan Omar el Bashir anayeswaka na mahakama ya uhailifu wa kivita katika eneo la Darfur na rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma.
13.13pm:Jeshi la Uhanda latoa heshima zao kwa rais Museveni hivi sasa.
13.09pm:Wimbo wa taifa unaimbwa
12.56pm:Ni wakati ambapo ndege za jeshi zinatoa heshima zao kwa rais Museveni.Ndege hizo zinaonyesha uwezo wake wa kulilinda taifa la Uganda chini ya uongozi wa rais Museveni.
12.38pm:Museveni amekabidhiwa vifaa muhimu vya madaraka ikiwemo katiba,ngao ya mamlaka,bendera na upanga ambao ni ishara ya jeshi.
Na sasa ni zamu ya jeshi la taifa hilo kumpatia heshima rais huyo.

Jeshi la Uganda
12.15pm:Rais Museveni alikagua gwaride la jeshi baada ya kuapishwa rasmi

12.10pm:Rais Yoweri Museveni aapishwa rasmi na jaji mkuu
12.05pm:leo rasmi imetangazwa kuwa siku ya mapumziko ili watu watokeze kwa wingi kwa sherehe hizo. Ingawaje bado kuna hali ya wasiwasi kwa vile chama cha upinzani na FDC na mgombea urais wa zamani Dk Kizza Besigye bado wanakana ushindi wa Museveni.
12.00pm:Rais Yoweri Museveni kuapishwa kuwa rais kwa muhula wa saba mfululizo nchini Uganda
Museveni kumkabidhi madaraka Museveni si jipya kwa Waganda. nani Rais ambaye alilaumu mwaka 1986, viongozi wa Afrika kukaa madarakani kwa muda mrefu sana.

Wednesday, May 11, 2016

                                         MAGAZETI YA LEO
chanzo millard ayo.

SANI:
20160511_043214
20160511_043227

LETE RAHA:
20160511_043350
20160511_043400
MWANANCHI
20160511_043821
20160511_043831
THE CITIZEN
20160511_043844
20160511_043853

Prince Saw Doctor Day Before Death

Prince
Prince was treated by a doctor and prescribed unspecified medications twice during the month before his sudden death in April. Kevin Mazur/Getty
 Prince visited a Minnesota doctor, who prescribed him "medications and prescriptions," twice before his death in April, including the day before, The Associated Press reports.
 Dr. Michael Todd Schulenberg treated Prince on April 7th and April 20th, according to a search warrant filed in Hennepin County. The warrant, however, did not not specify what medications Prince was given, or whether he took them. Themusician died April 21st at his Paisley Park home in suburban Minneapolis. He was 57.
Investigators interviewed Schulenberg and searched a hospital near Minneapolis where he worked. A spokesperson for the North Memorial Medical Center said that Schulenberg worked as a primary care physician at the Minnetonka clinic, but no longer worked for the health care system.
Authorities also returned to Paisley Park park tonight, May 10th. Officials did not specify what they were looking for, though the Carver County Sheriff's Chief Deputy Jason Kamerud told the AP that investigators were "being thorough."
Prince's initial autopsy to determine cause of death was inconclusive and the Midwest Medical Examiners Office continues to await the return of toxicology tests. But investigators have focused on the musician's alleged addiction to painkillers, stemming from chronic hip pain he suffered over the past few years. Both the U.S. Attorney's Office and the Drug Enforcement Administration have joined the investigation.
Prince was reportedly in possession of painkillers at the time of his death, while days before, his private plane was forced to make an emergency landing for medical reasons and he was reportedly given a shot of Narcan, an opioid antidote. Per a report from the Star Tribune last week, Prince was scheduled to meet with an addiction specialist the day he died.